Habari
Kikao cha 36 cha Kamati Tendaji ya TNBC
- 01 Mar, 2023

Tarehe 21 Februari 2023, Dkt. Moses Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC ameongoza Kikao cha 36 cha Kamati Tendaji, Chamwino, Jijini Dodoma.
Tarehe 21 Februari 2023, Dkt. Moses Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC ameongoza Kikao cha 36 cha Kamati Tendaji, Chamwino, Jijini Dodoma.