Habari

Bal. Dkt. Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC aongoza kikao Maalum cha 45
  • 10 Jan, 2025
Bal. Dkt. Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC aongoza kikao Maalum cha 45

Katibu Mkuu Kiongozi, Bal. Dkt. Moses Mpogole Kusiluka, leo tarehe 10 Januari, 2025 aongoza Kikao Maalum cha 45 cha Kamati Tendaji ya TNBC, IKULU Jijini Dar Es Salaam