Habari

Dkt. Natu El-Maamry Mwamba Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Fedha ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha aongoza Kikao cha 3 leo tarehe 24 Machi, 2026
  • 24 Mar, 2026
Dkt. Natu El-Maamry Mwamba Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Fedha ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha aongoza Kikao cha 3 leo tarehe 24 Machi, 2026

Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Fedha (Finance Working Group) ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, leo tarehe 24 Machi 2026 ameongoza Kikao cha 3 cha Kikundi Kazi cha Fedha katika Ukumbi wa HAZINA Jijini Dar es Salaam. Moja ya Azimio la Kikundi Kazi ni Kuanzisha Kituo cha Fedha cha Kimataifa cha Tanzania (TIFC) na Kuhamasisha Makampuni Yanayopata Faida Kujiandikisha katika Soko la Hisa Dar es Salaam - Dar es Salaam Stock Exchange (DSE).