Habari

Majadiliano ya Ki Wizara, Sekta ya Uchukuzi, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi
  • 12 Apr, 2023
Majadiliano ya Ki Wizara, Sekta ya Uchukuzi, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi

Tarehe 11.04.2023, TNBC, Tukishirikiana na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi tumeendesha Mkutano kwa pamoja wa Wadau wa Sekta ya Uchukuzi, Ministerial Public Private Dialogue – MPPD katika Kituo cha Kimataifa cha JNICC Jijini Dar es salaam. Mkutano huo umeongozwa na Mwenyekiti ambaye ni Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.)