Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa TNBC akiongoza Mkutano wa 15 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC), Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 29 Julai, 2024.
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti...
Katibu Mkuu Kiongozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC akizungumza kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wa Baraza Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 29 Julai, 2024 IKULU Jijini Dar es salaam
Katibu Mkuu Kiongozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC akizungumza kabla ya kum...
On April 17, 2024, the Faculty of Political Science at Ankara University in Turkey bestows a doctorate degree (PhD – Honoris Causa in Economics and Commercial Relations) upon Hon. Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania
On April 17, 2024, the Faculty of Political Science at Ankara University in Turkey be...
Balozi Dkt. Moses Moses Kusiluka, Katibu Mkuu Kiondozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya Baraza la Taifa la Biashara Leo tarehe 15 April 2024 ameendesha kikao cha Kamati cha 37 cha Baraza la Taifa la Biashara IKULU Jijini Dar es salaam.
Balozi Dkt. Moses Moses Kusiluka, Katibu Mkuu Kiondozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaj...
Wajumbe wakishiriki Kikao cha Kamati Tendaji cha Baraza la Taifa la Biashara Leo tarehe 15 April 2024, Kikao hicho ni cha 37, kimeketi chini ya Mwenyekiti wake Balozi Dkt. Moses Moses Kusiluka, Katibu Mkuu Kiondozi. Kikao hicho kimefanyika IKULU Jijini Dar es salaam.
Wajumbe wakishiriki Kikao cha Kamati Tendaji cha Baraza la Taifa la Biashara Leo tare...
Leo tarehe 25 Machi, 2024 kimefanyika kikao cha Kamati ya Fedha na Utawala ya TNBC. Kikao hicho kimeongozwa na Kaimu Mwenyekiti ndugu Mululi Majula Mahendeka, Katibu Mkuu IKULU katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es salaam.
Leo tarehe 25 Machi, 2024 kimefanyika kikao cha Kamati ya Fedha na Utawala ya TNBC. K...