Dkt. Moses Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC aongoza Kikao Maalum cha 43 cha Kamati Tendaji ya TNBC leo tarehe 15.05.2023 IKULU Jijini Dar es salaam.
Dkt. Moses Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi na Mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TNBC aon...
Bi. Angelina Ngalula(wa kwanza kulia), Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania na Mwenyekiti Mwenza wa Kamati Tendaji ya TNBC, akishiriki Kikao Maalum cha 43 cha Kamati Tendaji ya TNBC kilichofanyika leo tarehe 15.05.2023 IKULU Jijini Dar es salaam. Kulia kwake ni Bw. Mululi Majura Mahendeka Katibu Mkuu Ikulu.
Bi. Angelina Ngalula(wa kwanza kulia), Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzani...
Kutoka kushoto Dkt. Godwill Wanga, Katibu Mtendaji wa TNBC, Dkt. Jim Yonaz, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Bw. Paul Makanza, Makamu Mwenyekiti wa TPSF pamoja na Dkt. Hashil Abdallah, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara wakishiriki Kikao Maalum cha 43 cha Kamati Tendaji ya TNBC kilichofanyika IKULU Jijini Dar es salaam
Kutoka kushoto Dkt. Godwill Wanga, Katibu Mtendaji wa TNBC, Dkt. Jim Yonaz, Katibu Mk...
Dkt. Riziki Nyello (kulia), Mkurugenzi wa Mazingira ya Biashara wa TNBC na Bi. Oliva Vegulla (katikati), Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wakishiriki Kikao Maalum cha 43 cha Kamati Tendaji ya TNBC kilichofanyika leo tarehe 15.05.2023 IKULU Jijini Dar es salaam.
Dkt. Riziki Nyello (kulia), Mkurugenzi wa Mazingira ya Biashara wa TNBC na Bi. Oliva...
Tarehe 11.04.2023, TNBC, Tukishirikiana na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi tumeendesha Mkutano kwa pamoja wa Wadau wa Sekta ya Uchukuzi, Ministerial Public Private Dialogue – MPPD katika Kituo cha Kimataifa cha JNICC Jijini Dar es salaam. Mkutano huo umeongozwa na Mwenyekiti ambaye ni Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Prof. Makame M. Mbarawa (Mb.)
Tarehe 11.04.2023, TNBC, Tukishirikiana na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi tumeendesha M...
Mhe. Bal. Dkt. Pindi Chana (kati kati), Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mwenyekiti wa 'Ministerial Public Private Dialogue' (MPPD) tarehe 30.03.2023 ameongoza Mkutano wa Majadiliano ya Wadau wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi katika ukumbi wa VVIP Uwanja wa Benjamini Mkapa Jijini Dar es salaam, kulia kwa Mhe. Waziri ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Dkt. Godwill Wanga.
Mhe. Bal. Dkt. Pindi Chana (kati kati), Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mwen...