Mhe. Kasimu Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika picha ya pamoja na Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Doto Biteko alipofika na kukaribishwa na Viongozi pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu hivi karibuni.
Mhe. Kasimu Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika...
Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Biashara Dkt. Godwill Wanga alipofika na kukaribishwa na Viongozi pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu hivi karibuni.
Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Doto Biteko akisalimiana na Katibu Mtendaji wa Baraza la...
Mhe. Anderson Mutatembwa, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) akisaini Kitabu cha Wageni tarehe 22 Agosti, 2023 mara baada ya kuwasili Ofisi za Baraza la Taifa la Biashara - TNBC zilizopo mtaa wa Ghana 21 (TNBC House). Mhe. Mutatembwa ametembelea TNBC kujionea utendaji kazi wa Baraza la Taifa la Biashara.
Mhe. Anderson Mutatembwa, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Ura...
Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipotembelea banda la TNBC kwenye Nane Nane 2023, Jijini Mbeya
Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipotem...
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara – TNBC aongoza Mkutano wa 14 wa TNBC IKULU Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo, uliofanyika leo tarehe 9 Juni, 2023 umehudhuliwa na Mhe. Dkt Philip Isdor Mpango, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Wajumbe na Waalikwa.
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti...
Wajumbe na Waalikwa wa Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara wakishiriki Mkutano wa Baraza ulioongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa TNBC leo tarehe 9 Juni, 2023, IKULU Jijini Dar es salaam
Wajumbe na Waalikwa wa Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara wakishiriki Mkuta...