Leo tarehe 1/12/2023, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye ni Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Utalii Dkt. Hassan Abas ameongoza Mkutano wa Kikundi Kazi Jijini Arusha
Leo tarehe 1/12/2023, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye ni Mwenyeki...
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambaye ni Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Mapinduzi ya Kidijitali Bw. Mohamed Khamis Abdulla (Katikati) Leo tarehe 29/11/2023, ameongoza Kikao cha Pili cha Mapinduzi ya Kidijitali. Kikao kimefanyika Ukumbi wa Mikutano wa TCRA jijini Dar es salaam. Kulia kwake ni Mwenyekiti Mwenza wa Kikundi Kazi na kushoto kwake ni Dkt. Godwill Wanga, Katibu Mtendaji wa TNBC na Katibu wa Kikundi Kazi
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambaye ni Mwenyekit...
Tarehe 28/11/2023 Kamati Tendaji ya Wataalam wa Mapinduzi ya Kidijitali chini ya Kikundi Kazi cha Mapinduzi ya Kidijitali walikutana na kufanya Kikao cha Utendaji katika Ukumbi wa Mikutano wa TCRA Jijini Dar es salaam
Tarehe 28/11/2023 Kamati Tendaji ya Wataalam wa Mapinduzi ya Kidijitali chini ya Kiku...
Leo tarehe 17/11/2023 Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo ambaye ni Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Kilimo Bw. Gerald Godfrey Mweli ameongoza Kikao Maalum cha Kikundi Kazi katika Ukumbi wa Waziri Mkuu Jijini Dar es salaam Kushoto kwake ni Katibu Mtendaji wa TNBC Dkt Godwill Wanga na kulia kwake ni Mwenyekiti Mwenza mteule Bw. Timoth Mmbaga
Leo tarehe 17/11/2023 Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo ambaye ni Mwenyekiti wa Kikundi Ka...
Wajumbe wa Kikundi Kazi cha Kilimo (Agricultural Working Group) wakishiriki Kikao Maalum leo kilichoitishwa na Mwenyekiti wa Kikundi Kazi Bw. Gerald Mweli ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo katika Ukumbi wa Waziri Mkuu Jijini Dar es salaam leo tarehe 17/11/2023. Katikati ni Mkurugenzi wa Mazingira ya Biashara TNBC Dkt. Riziki Nyello
Wajumbe wa Kikundi Kazi cha Kilimo (Agricultural Working Group) wakishiriki Kikao Maa...
Dkt. Jim Yonaz, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu ambaye ni Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Mazingira ya Biashara, Leo Tarehe 16/11/2023 ameendesha Kikao Maalum cha Kikundi Kazi cha Mazingira ya Biashara katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es salaam.
Dkt. Jim Yonaz, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu ambaye ni Mwe...